AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mchungaji huyo anayefahamika pia kama Nabii alikamatwa na maofisa wa kupambana na dawa za kulevya Jumatano alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kenneth Kaunda jijini Lusaka, amesema msemaji wa Tasisi ya Kupambana na Dawa za Kulevya Theresa Katongo.
Katongo alisema mchungaji huyo aliyekamatwa baada ya kuwasili akitokea Nigeria alikuwa kwenye ndege ya Shirika la Ndege la Afrika Kusini.
Kwa sasa, msemaji huyo alisema anashikiliwa na polisi na atafikishwa mahakamani muda wowote.
Dawa alizokamatwa nazo ni aina ya ephedrine, ambazo hutumika kusisimua misuli.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK