AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akipiga stori na Za Motomoto News, Jini Kabula alisema kunawiri kwake kunatokana na kupumzika kwa miezi mitatu bila mikikimikiki huku akila vinono nyumbani kwa kaka yake alikoenda kwa mapumziko na hivi karibuni ana mpango wa kurejea tena Dar kwa ajili ya kufanya biashara ili kujiendeshea maisha na siyo sanaa tena kwa sasa.
“Jamani kunawiri kwangu ni kwamba ninakula vinono kwa kaka yangu huku Mwanza, sina stress maisha yanaenda tu vizuri, nimeshapumzika miezi mitatu kama daktari alivyoshauri na ninajiandaa kurudi kwa ajili ya mishe nyingine za kimaisha,” alisema Jini Kabula.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK