Juliana Shonza: ROMA Aliitwa Basata Tumempa Miezi 6 Kurekebishe Wimbo Wake 'Kiba-100'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Juliana Shonza: ROMA Aliitwa Basata Tumempa Miezi 6 Kurekebishe Wimbo Wake 'Kiba-100'
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Juliana Shonza ameongea na waandishi wa Habari baada ya kutangaza kumfungia Msanii wa Bongofleva Pretty Kind kutojihusisha na masuala ya sanaa kwa miezi sita.

Akiongea na waandishi wa habari Shonza amegusia pia suala la msanii ROMA ambapo amesema BASATA walimuita na kumuagiza akafanye editing katika wimbo wake wa KIBAMIA.

“Tumemuita ROMA miezi 2 iliyopita tumempa miezi 6 aurekebishe wimbo wake KIBAMIA na alikiri kweli ameimba vitu ambayo ni matusi, sisi hatuwezi mfuatilia kama amefanya editing au hajafanya, asipofanyia editing hizi sheria zitamhusu,”– Juliana Shonza
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad