AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na waandishi wa habari Shonza amegusia pia suala la msanii ROMA ambapo amesema BASATA walimuita na kumuagiza akafanye editing katika wimbo wake wa KIBAMIA.
“Tumemuita ROMA miezi 2 iliyopita tumempa miezi 6 aurekebishe wimbo wake KIBAMIA na alikiri kweli ameimba vitu ambayo ni matusi, sisi hatuwezi mfuatilia kama amefanya editing au hajafanya, asipofanyia editing hizi sheria zitamhusu,”– Juliana Shonza
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK