Sugu Afunguka Kuhusu Kupotelewa na Instruments za Nyimbo Zake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Sugu Afunguka Kuhusu Kupotelewa na Instruments za Nyimbo Zake
Kwenye taarifa za mitandaoni ambazo zimepewa nafasi kubwa ni pamoja na hii ya Mbunge wa Mbeya Mjini Mh. Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ kutoa taarifa kwa yoyote ambaye anaweza kufanikisha kupata kwa instruments za nyimbo zake zote kwani anashindwa kufanya shows kwa hivi sasa.

Post yake ameandika>> ‘Taarifa: Nimepoteza beats (instrumentals) za nyimbo zangu zote, kitu kinachochangia nishindwe kufanya shows hivi sasa. Kama kuna yeyote anazo popote duniani naomba tuwasiliane kwa email yangu deiwaka14@gmail.com … Asanteni sana na nitashukuru sana kwani mtanisaidia kurudi jukwaani kitu ambacho nakimiss sana’. -Sugu.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad