AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dkt. Mutua amesema kuwa Kenya itakuwa nchi ya kwanza duniani kuapisha marais wawili katika awamu moja.
“Kama hili la kuapishwa kwa kiongozi wa NASA litafanikiwa basi utakuwa mfano mzuri utakaodhihirisha kuwa bara letu ni mfano wa Tundu la Choo. Mtu utawezaje kuapishwa wakati huo huo kuna kiongozi mwingine ameshaapishwa na Jaji Mkuu? hii ni aibu kwa bara letu,“ameandika Dkt. Mutua kwenye ukurasa wake wa Twitter.
Neno ‘Tundu la Choo’ limewa maarufu zaidi duniani baada ya Rais Donald Trump wiki mbili zilizopita kutamka nchi za Afrika na Haiti ni mfano wa ‘Tundu la Choo’.
Kiongozi huyo wa upinzani nchini Kenya anatarajiwa kuapishwa Januari 30, 2018 na kuwa Rais wa watu wengi kama anavyojiita.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Wamarekani huwa na wanatafsiri tofauti kabisa na tafsiri ya kiengereza cha kawaida na ndio maana waliofahamu vizuri maneno aliyotamka raisi wao walilaani sana. Kwa sababu ni matusi mazito na si maneno ya kuyarejea mara kwa mara kuyatamka. Matamshi ya tundu la choo linalojadiliwa na kupigiwa kelele na kulaaniwa na wengi ni tundu la choo lilopo baina ya makalio ya mtu, waswahili wa neno lao maalum ya sehemu hiyo. Sasa Africa kufanananishwa na sehemu ya kutolea kinyesi sidhani kama ni sawa ingawa kuna wengine wanaona poa tu.
ReplyDelete