AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shekau amekiri kundi lake kuhusika katika matukio ya hivi karibuni nchini Nigeria katika maeneo ya Kaskazini-Mashariki mwa nchi hiyo ikiwemo lile tukio la sikukuu ya Christimas katika kijiji cha Molai, mji mkuu wa Jimbo la Borno.
Shekau amejisifu kwa kusema kuwa askari wa Boko Haram wana afya njema na kwamba vikosi vya ulinzi nchini Nigeria haviwezi kufanya lolote dhidi ya wanamgambo hao.
Shekau ametoa tamko juu ya kukerwa kwake kutambuliwa kwa mji wa Yerusalemu kama mji mkuu wa Israeli tamko lililotolewa na Rais wa Marekani Donald Trump.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK