Mapacha Walioungana Kuhamishiwa MuhimbiliiI Kwa Matibabu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mapacha Walioungana Kuhamishiwa MuhimbiliiI Kwa Matibabu
MAPACHJA walioungana, Maria na Consolata wanatarajia kuhamishiwa jijini Dar es Salaam kwa ajiri matibabu zaidi katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Muhimbili Hospital.

Akizungumzia hatua hiyo, Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Iringa wanakopatiwa matibabu, Dk Alfred Mwakalebela amesema pacha hao walilazwa hospitalini hapo Desemba 28,2017 na watapelekwa JKCI kwa matibabu zaidi.

“Hali zao zinaendelea vizuri lakini tumeona wanahitaji uchunguzi na matibabu zaidi ndiyo sababu tumeamua kuwapa rufaa. Uamuzi huo umelenga kuwawezesha pacha hao wanaosoma Chuo Kikuu Katoliki cha Ruaha (Rucu) cha mjini Iringa kufanyiwa uchunguzi na matibabu zaidi,” alisema Mwakalebela.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad