AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumzia hatua hiyo, Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Iringa wanakopatiwa matibabu, Dk Alfred Mwakalebela amesema pacha hao walilazwa hospitalini hapo Desemba 28,2017 na watapelekwa JKCI kwa matibabu zaidi.
“Hali zao zinaendelea vizuri lakini tumeona wanahitaji uchunguzi na matibabu zaidi ndiyo sababu tumeamua kuwapa rufaa. Uamuzi huo umelenga kuwawezesha pacha hao wanaosoma Chuo Kikuu Katoliki cha Ruaha (Rucu) cha mjini Iringa kufanyiwa uchunguzi na matibabu zaidi,” alisema Mwakalebela.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK