AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbowe amesema hay oleo Jumanne muda mchache baada ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kwenda Ikulu.
Amesema mwaliko wa Lowassa ni wake binafsi na wala hauhusiani na Chadema na hata kile alichokizungumza cha kumsifia Rais Magufuli ni mawazo yake binafsi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
mbowe wewe asiyekujua nani kwamba ni CCM B tuachie chama chetu nenda huko unajifanya unafyatuka kumbe hamna lolote
ReplyDeleteLowassa Ni Jasiri wa ziada kama ulivyo nena mtowe.
ReplyDeleteLowassa ni mwanasiasa na sio kama wewe na wanzako wasioijua siasa na kujifanya wana siasa.
Utakufa na kiu ya siasa na Hauto ijua siasa wala kuwa mwana siasa. Muulize Jitto. atakupa tafsiri.