AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mr. Blue ameiambia Planet Bongo ya EA Radio kuwa amekuwa kwenye game kwa muda mrefu na hakupatiwa tuzo na alipofika kwa sasa kimuziki haoni kama kuna tuzo anaweza kupatiwa.
“Sitaki tena tuzo, yaani is too long nimesubiri kwa muda mrefu, Tanzania I don’t need any tuzo, kuna tuzo gani ya kunipa mimi, utanipa tuzo ya wimbo bora wa mwaka huu ‘Mbwa Koko’ hizo nyingine za nyuma unazifanyia nini?,” amesema.
“Kwenye game nimeanza toka nimekuwa mtoto mpaka nimekuwa na watoto bado nasubiri, siwezi tena kuwa na hamu ya kuitaka tuzo sasa hivi ninachoangalia ni mambo mengine, niwepo tu hata sifanyi tena kwa ajili yangu,” ameongeza.
Mr. Blue kwa sasa anafanya vizuri na ngoma mpya inayokwenda kwa jina la Mbwa Mkoko.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK