Baada ya Kubwagwa na Heri Muziki Diva Anyapia Penzi la Soudy Brown

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baada ya Kubwagwa na Heri Muziki Diva Anyapia Penzi la Soudy Brown
Baada ya kubwagana na mpenzi wake Heri Muziki, Diva amefunguka mipango yake ya kuwa na Soudy Brown.

Mtangazaji huyo wa kipindi cha Ala za Roho cha Clouds Fm amesema kwa sasa yupo tayari kubadili dini kwa ajili ya Soudy Brown ambaye ni mtangazaji mwenzake katika kituo hicho.

“Soudy Brown ndio kila kitu kwangu niseme hivyo, urafiki wangu uko karibu kupita kiasi like hakuna kama Soudy I think he my only true love,” Diva ameiambia Bongo5.

“Kwa sababu yeye ni mtoto wa kislam akiniongeza kwenye list nitabadilisha dini na nitaitwa Amina,” amesisitiza.

Hata hivyo ameongeza kuwa tayari anamjua mpenzi wake Soudy Brown ila kitu ambacho watakaa na kujadili. Diva kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake mpya ‘Waambie’ ambao amewashirikisha  Mr. Paul na Mwana FA.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad