Muslim Hassanali Baada ya Kuingia CCM Ajipachikia Nafasi ya Kuwa Mshauri wa Rais

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Muslim Hassanali Baada ya Kuingia CCM Ajipachikia Nafasi ya Kuwa Mshauri wa Rais
Aliyewahi kugombea Ubunge wa Jimbo la Ilala kwa tiketi ya CHADEMA mwaka 2015, Muslim Hassanali amejipachika nafasi ya ushauri wa serikali ya Rais Magufuli kwasababu nafasi hiyo haihitaji kuteuliwa.

Akizungumza leo katika ukumbi wa Checkpoint eneo la Pugu jijini Dar es salaam, katika maandalizi ya kumpokea akitokea upinzani kwenda CCM leo ambapo amesema kuwa hajaingia katika chama hicho kutafuta mali.

“Naomba niwaweke wazi kuwa sijpewa na sijahaidiwa nafasi yoyote na serikali au CCM, nafasi nimeitafuta mwenyewe na cheo changu kuanzia leo naomba nikiweke wazi Mh. Mwenyekiti cheo changu ni mshauri wa serikali ya Magufuli nani ya nchi hii, kuwa mshauri hakuhitaji kuteuliwa nimejiteua mwenyewe,“ amesema Muslim Hassanali .

Aidha Hassaniali aliongeza kuwa “Haikuwa kazi rahisi kuchukua maamuzi ya kuihama CHADEMA na kujiunga CCM, Ila imebidi niweke maslahi yangu binafsi pembeni na kujiunga CCM ili nipambanie nchi yangu“.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad