AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ruby amefunguka hayo wakati akijibu maswali ya kuhusu kuweka picha mtandaoni zilizosababisha utata wa um,bo lake tofauti na alivyozoeleka.
Ruby amesema kwamba kupitia simu msanii anaweza kujiremba kwa jinsi ambavyo ataweza kusababisha mashabiki zake waendelee kumfuatilia na hata kumjadili.
"Zile picha zenye kunionyesha umbo kwanza alinitengenezea shabiki yangu akanitumia kisha mimi nikaona niiweke mtandaoni kama somo kwa wasanii wenzangu. Unaweza kufanya kitu kama ile na ukapata attention uliyokuwa unaitaka. Badala ya kupiga picha za utupu na kwa sasa serikali iko macho siyo vizuri. Napenda tuwe wabunifu" amesema Rubby..
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK