Mzee Majuto Kuingia Kwenye Movie za Action Ampa Tano Ngubilu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mzee Majuto Kuingia Kwenye Movie za Action Ampa Tano Ngubilu
KOMEDIANI lejendari Bongo, Amri Athuman ‘Mzee Majuto’ amesema kuwa mwaka 2018 ameibuka kivingine baada ya kujikita kwenye sinema za action huku akimpa tano mwigizaji anayecheza naye kwa sasa, Maurus Laurent ‘Ngubilu’.

Mzee Majuto aliliambia Ijumaa Wikienda kuwa, sinema iliyoingia sokoni juzikati ya Mjeshi Mtata ndiyo inayomuonesha akifanya vitu vya hatari kwa mara ya kwanza kwenye filamu za action (mapigano).

“Nimetaka nioneshe ukali wangu kwenye mambo ya action, lakini ninampongeza kijana wangu Ngubilu ambaye ndiye nimeshirikiana naye, kiukweli yupo vizuri na atafika mbali,” alisema Mzee Majuto akiungwa mkono na Ngubilu.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad