AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nandy amesema hilo halina ukweli wowote kwani tangu alipoondoka katika uongozi wake kuna nyimbo ambazo alitoa, hivyo kutoa kauli kama hiyo ni kujitetea.
“Sio kweli kwa sababu nakumbuka ana nyimbo tatu kazitoa kipindi ambacho amesema amepumzika, katoa singeli mbili na wimbo mmoja unaitwa Wale Wale, sasa hapo alikuwa amepumzika au ni kitu ambacho si cha kweli,” amesema.
“Halafu watu walikuwa wanajua amegombana na uongozi wake ndio akatoa hizo nyimbo ni kisingizio cha kujitetea,” Nandy ameiambia EATV.
Kwa sasa Nandy anafanya vizuri na wimbo ‘Subal kheir’ alioshirikiana na Aslay ambao awali uliimbwa na Culture Group kutoka visiwani Zanzibar.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK