Odinga Anatarajiwa Kuapishwa Leo na Upinzani Nchini Kenya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Odinga Anatarajiwa Kuapishwa Leo na Upinzani
Viongozi wakuu wa Muungano wa upinzani nchini Kenya NASA, wametangaza kuwa maandalizi yamekamilika kuelekea kumuapisha kiongozi wake Raila Odinga kama rais wa watu leo January 30, 2018 katika bustani ya uhuru jijini Nairobi.

Mkurugenzi Mkuu wa NASA Norman Magaya amewaambia wafuasi wa NASA kukusanyika katika uwanja wa Uhuru Park kwa maandalizi ya kumuapisha Odinga na Naibu wake Kalonzo Musyoka saa nne asubuhi.

Wasiwasi umetokea kuhusu iwapo shughuli hiyo itafanyika katika bustani hiyo baada ya jeshi la Polisi kupiga marufuku mkusanyiko wa watu katika bustani hiyo.

Kamanda wa jiji la Nairobi Japhet Koome, amesema hataruhusu yeyote kuonekana katika bustani hiyo.“Siwezi kuruhusu watu kwenda kuumizana katika bustani ya Uhuru Park,”.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad