AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkurugenzi Mkuu wa NASA Norman Magaya amewaambia wafuasi wa NASA kukusanyika katika uwanja wa Uhuru Park kwa maandalizi ya kumuapisha Odinga na Naibu wake Kalonzo Musyoka saa nne asubuhi.
Wasiwasi umetokea kuhusu iwapo shughuli hiyo itafanyika katika bustani hiyo baada ya jeshi la Polisi kupiga marufuku mkusanyiko wa watu katika bustani hiyo.
Kamanda wa jiji la Nairobi Japhet Koome, amesema hataruhusu yeyote kuonekana katika bustani hiyo.“Siwezi kuruhusu watu kwenda kuumizana katika bustani ya Uhuru Park,”.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK