Bunge Laanza Rasmi Leo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Bunge Laanza Rasmi Leo
Vikao vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, leo vimeanza rasmi mjini Dodoma ambapo wabunge wapya watatu, leo wanatarajiwa kuapishwa na Spika wa Bunge, Job Ndugai.

Wabunge wanaotarajiwa kuapishwa ni wale waliochaguliwa hivi karibuni katika uchaguzi wa marudio wa Ubunge kwenye majimbo ya Songea Mjini, Singida Kaskazini na Longido, majimbo ambayo awali yalikuwa wazi kutokana na sababu mbalimbali.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad