Ole Sendeka Akanusha Sauti Inayosambaa Kwenye Mitandao ya Kijamii Asema Imetengenezwa na Wapinzani Ili Kumgombanisha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ole Sendeka Akanusha Sauti Inayosambaa Kwenye Mitandao ya Kijamii Asema Imetengenezwa na Wapinzani Ili Kumgombanisha
Saa chache tu baada ya kusambaa kwenye mitandao ya kijamii sauti iliyodhaniwa kuwa ya Mkuu wa Mkoa wa Njombe Christopher Ole Sendeka akijadili namna ya utendaji wa Bunge na Awamu ya Tano ya Rais Magufuli mwenyewe ametolea ufafanuzi.

Ameeleza kuwa sauti hiyo siyo ya kwake na kwamba imetengenezwa na kuongeza kwamba sauti hiyo imetengenezwa na wapinzani ili kumfarakanisha yeye na viongozi wa serikali na walio chini yao.

“Naomba mzipuuze habari hizi kwa kiwango kinachostahili kwani zote ni uzushi mtupu , badala yake elekezeni macho, fikra na mikakati yenu katika uchaguzi unaokuja.” – RC Ole Sendeka
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad