AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Musukuma ameona kauli za baadhi ya watu kushtushwa na kitendo cha Edward Lowassa kumpongeza Rais Magufuli. Akiongea na AyoTv Musukuma amesema
“Mi nakuomba mzee Lowassa huku ndo kwenu hilo genge la wahuni utoliweza, Lowassa kwenda kule ilikuwa ni hasira, dalili ya mvua ni mawingu, kama chama kimefanya vizuri uungwana ni kwenda kupongeza, sisi Lowassa huku hatumtaki akija anakuja kupumzika,”– Musukuma
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK