AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Boniface ambaye ni raia wa Tanzania, makazi wa Tabata Segerea mwenye hati ya kusafiria nambari AB 757247, eneo la juu la kuondokea abiria Terminal II wakati akisubiri kusafiri na ndege ya Shirika la Ndege la Emirate kuelekea Dubai akiwa na jumla ya dola za kimarekani 123,000.
Abiria huyo ambaye ni mfanyabishara alitoa taarifa katika Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuwa anasafiri na dola 40,000 (TZS 89,242,000), huku kiasi kilichosalia USD 83,000 (185,177,150) hakikutolewa ufafanuzi.
Baniface alikuwa akielekea Dubai kwa safari ya kibiashara.
Mamlaka iliyomkamata imechukua kiasi cha fedha USD 83,000 ambazo hazikutolewa taarifa na wameziweka kwenye akaunti ya dola ya FIU numba 20110028135.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK