Mbunge wa Chadema Atangaza Adhabu Kali ya Kupewa Endapo Atajiunga CCM

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mbunge wa Jimbo la Mbozi mkoani Songwe kupitia CHADEMA, Paschal Haonga amesema hana mpango na wala hayuko tayari kuhama chama hicho na endapo ikatokea akahama, wananchi wachome moto nyumba yake anayoishi na familia yake.

Haonga ametoa kauli wakati akizungumza na wapiga kura wake katika mwendelezo wa mikutano yake jimboni humo.

Ametoa msimamo huo ikiwa ni njia ya kuwatoa hofu wapigakura wake baada ya kuwepo kwa tetesi kuwa mbunge huyo naye ni miongoni mwa wabunge wanaohisiwa kuendelea kukihama chama hicho.

Kauli ya Haonga imekuja wakati wimbi kubwa la viongozi wa CHADEMA wakiendelea kumtimkia CCM kwa kile wananchoeleza kuwa, wanakwenda kuunga mkono juhudi za Rais Dkt John Pombe Magufuli.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad