AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Majaliwa amesema hayo akiwa mkoani Mara Wilayani Musoma na kudai kuwa Serikali haiko tayari kuwavumilia watumishi wanaojihusisha na wizi, ubadhilifu, rushwa na uzembe, hivyo ni vema viongozi waliopewa dhamana wahakikishe wanatekeleza majukumu yao kwa uadilifu.
"Fedha zinazotolewa na Serikali kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo zinalenga kutatua kero za wananchi na si kuwanufaisha wachache wenye tamaa. Kama ni za ujenzi wa zahanati ijengwe na atakayezitafuna Serikali haitosita kumchukulia hatua".
Aidha Waziri Mkuu asiwasisitiza watumishi wa umma kufanya kazi kwa mujibu wa sheria kwa sababu vitendo vya wizi, uzembe vinachangia kupunguza kasi ya kuwaletea maendeleo Watanzania.
Mbali na hilo Waziri Mkuu aliwataka Wakuu wa idara na watendaji wengine wa halmashauri kuacha tabia ya kukaa ofisini na badala yake waende vijijini kwa ajili ya kuwafuata wananchi na kushirikiana nao katika kutatua kero mbalimbali zinazowakabili.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Swadakta.... No time to waste.
ReplyDeleteTutafika na mtaeleweka. Change of culture and performanca driven.
Tanzania mpya kwa hivi itakuja tu.
Hapa kazi tu.