AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Faiza aliiambia Full Shangwe kuwa, mwaka 2018 ameuanza vizuri akiwa hana stress zozote za mapenzi wala maisha kwa sababu amejikita katika biashara zake binafsi.
“Sina stress mwaka 2018, kama kuna mtu niliachana naye hilo lilishapita, kwa sasa ninafurahia maisha na mwili wangu unaona unazidi kunawiri zaidi ya kipindi cha nyuma cha mateso ya mapenzi,”alisema Faiza.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK