Shilole Atoboa Siri ya Pete Aliyovishwa na Uchebe " Pete Niliyovishwa Imetoka Marekani"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Shilole Atoboa Siri ya Pete Aliyovishwa na Uchebe " Pete Niliyovishwa Imetoka Marekani"
MSANII wa muziki wa Mduara Bongo, Zuwena Mohammed, ‘Shilole’ au Shishi Baby mefunguka kuwa pete ya ndoa aliyovishwa na mume wake, Ashrafu Uchebe katika usiku wa harusi yao kuwa ni zawadi ya pekee aliyopewa na mjomba wake kutoka nchini Marekani

Shilole ameanika hayo kupitia ukurasa waske wa Instagram na kusema;


Wanyamwezi tumefundwa bana 😂😂 pete nzuri tumezawadiwa na unlce wangu kutoka marekani @gift_jeweleries @gift_jeweleries kiboko ya gold original 🙏. Ameandika Shilole.






----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad