Snura Ajipanga Kuwaliza Watu Kwenye Siku Yake ya Kuzaliwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Snura Ajipanga Kuwaliza Watu Kwenye Siku Yake ya Kuzaliwa
MWANAMUZIKI nyota na mahiri kwa kukata viuno jukwaani, Snura Mushi amesema atawaliza watu watakaojitokeza katika sherehe ya siku yake ya kuzaliwa ambayo itafanyika mapema mwezi huu.

Snura aliiambia Za Motomoto News kuwa siku hiyo atawaimbia wimbo ambao utawaliza wote watakaoshiriki sherehe hiyo kwani wimbo huo una maneno ya kuhuzunisha ndani yake.


“Lazima kila atakayehudhuria bethdei yangu atoe chozi sababu nitawaimbia wimbo ambao una maneno ya kuhuzunisha na nitakuwa nauimba kwa mara ya kwanza kabisa kabla sijaurekodi na kuutoa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad