AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Snura aliiambia Za Motomoto News kuwa siku hiyo atawaimbia wimbo ambao utawaliza wote watakaoshiriki sherehe hiyo kwani wimbo huo una maneno ya kuhuzunisha ndani yake.
“Lazima kila atakayehudhuria bethdei yangu atoe chozi sababu nitawaimbia wimbo ambao una maneno ya kuhuzunisha na nitakuwa nauimba kwa mara ya kwanza kabisa kabla sijaurekodi na kuutoa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK