AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na waandishi wa habari, Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Hellen Kidjo Bisimba, alianza kwa kutoa pole kwa vituo vyote vilivyopigwa faini na kuongeza kwamba wapo kwenye mpango wa kuanzisha harambee ya kuvichangia vyombo hivyo vya habari kulipa faini.
Kuhusu makosa ambayo vituo hivyo viliyafanya, Bisimba anasema habari iliyoleta matatizo, haikuwa ya uchunguzi bali uchambuzi ambao kimsingi huwa hauhitaji mizania ya habari.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK