AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hayo yamethibitishwa na Katibu wa Klabu hiyo Ramadhani Kilao wakati alipokuwa akizungumza na mwandishi wa 'East Afrika Television' asubuhi ya leo na kusema amepokea taarifa hizo kwa masikitiko makubwa huku akibainisha baadhi ya mambo kuwa ni bado mapema sana kama timu kutoa msimamo wao kuhusiana na kifo hicho cha Ntambi.
"Ni kweli kocha Jumanne Ntambi amefariki dunia kutokana na tatizo la 'presha' lililokuwa likimsumbua takribani wiki moja mpaka umauti ulipomfika. Mpaka sasa bado tunashikilikiana na familia ya marehemu ili tuweze kujua utaratibu mzima ila kitakachokuwa kimejiri tutaikiweka bayana kwa watu wote", alisema Kilao.
Marehemu Jumanne Ntambi alijiunga na timu ya Mwadui FC mwaka jana (2017) wakati michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara inaanza akiwa ametokea katika timu ya mkoa wa Moshi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK