Ushangiliaji Huu wa Neymar Umekuwa Gumzo Mitandaoni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ushangiliaji Huu wa Neymar Wawa Gumzo Mitandaoni
Neymar amekuwa akiangazwa zaidi toka alipojiunga na matajiri wa Ufaransa klabu ya PSG kwa dau nono la paundi milioni 200 na kwa sasa amekuwa gumzo katika mitandao ya kijamii baada ya kuonyesha staili yake mpya ushangiliaji.

Baada ya kushinda bao lake hilo kwanjia ya mkwaju wa penati akaweka kiatu chake chenye chata la Nike katika paji la uso wake kitendo ambacho kimetawala katika vichwa vya habari huku watu wengi wakitumiana picha hiyo.

Katika mchezo huo Neymar, Kylian Mbappe na Angel Di Maria wote wametupia mara mbili na kuifanya Paris Saint-Germain kutoka na ushindi wa mabao 6-1 dhidi ya Rennes katika michuano ya French Cup siku ya Jumapili.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad