AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza baada ya Mrema kuwasilisha malalamiko yake katika Mamlaka hiyo Naibu Mkurugenzi - Huduma za Bidhaa na Mawasiliano Bw. Tadayo Joseph amesema kuwa Kabla ya Mrema kufika katika mamlaka hiyo alitakiwa kuanzia ndani ya jeshi la polisi kwani malalamiko hayo yanahusu kosa la jinai.
"Mzee Mrema na wananchi wengine wanaoleta taarifa za malalmiko tunawapongeza kwa hatua hiyo. Suala ambalo alilileta ni linahusu kosa la jinai. Mamlaka hii na jeshi la polisi zinafanya kazi kwa ukaribu sana. Ameshauriwa kwanza akaripoti huko kisha atapatiwa wapelelezi kabla ya kufika kwenye mamlaka hii,".
Mrema ambaye alizushiwa kifo na watu wasofahamika siku ya Jumanne, aliahidi jana kwenye kipindi cha East Africa Breakfast kwamba angekwenda kufungua kesi TCRA na kisha kudai Bilioni 20 kutokana na matatizo pamoja na usumbufu uliosababishwa na mzushaji wa taarifa hizo.
Mbali na hayo Mheshimiwa Mrema jana alisema alisema kitendo cha kuzushiwa kifo kilimsaidia kujua ni watu gani wanampenda kweli na kina nani hawampendi, kutokana na reaction zao baada ya taarifa feki za kifo chake.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK