AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakizungumza na Ijumaa Wikienda kwa nyakati tofauti, mastaa hao walisema kuwa, wanashangazwa na watu wanaohoji urafiki wao huo ulianza lini na wengine wakisema hawapendezani ambapo Shamsa alisema kuwa, wanaoongea hivyo wamekosa vitu vya kufanya.
Kwa upande wa Aunt aliliambia gazeti hili kuwa, wanaojadili urafiki wake na Shamsa hawana jipya kwani alishakuwa na marafiki wangapi hadi waujadili huo wa sasa? “Nimeshakuwa na marafiki wengi sana. Kwa nini wajadili urafiki wangu na Shamsa?” Alihoji Aunt
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK