“Usimdharau Pengine Kesho Yake Ikawa Ndio Usalama Wako”- Dogo Janja

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

“Usimdharau Pengine Kesho Yake Ikawa Ndio Usalama Wako”- Dogo Janja
Mwezi mmoja umepita tokea Papii Kocha na baba yake Babu Seya waachiwe huru na kuona wakifanya baadhi ya shows na ngoma zao pendwa za zamani ingawa wameonekana studio wakiandaa kazi zao mpya ambazo bado hazijatoka.



Maswali yamekuwa mengi kwa baadhi ya mashabiki baada ya Dogo Janja kupost picha akiwa na Babu Seya pamoja na wanae na kuandika caption inayosema “Haijalishi mtu ana hali gani leo usimdharau pengine kesho yake ikawa ndio usalama wako…. #BabuSeya #PapiiKocha”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad