Bill Nass Awakana Wanawake Ma-superstar " Sijawahi Kuwa na Mahusiano na Mtu Yeyote Maarufu"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Bill Nass Awakana Wanawake Ma-superstar " Sijawahi Kuwa na Mahusiano na Mtu Yeyote Maarufu"
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Bill Nass, amekanusha kuwahi kuwa kwenye mahusiano na wasanii wa kike wa hapa bongo, na kusema hajwahi kabisa kuwa nao.


Akizungumza na mwandishi wa www.eatv.tv, Bill Nass amesema ana mahusiano yake na mpenzi wake wa muda mrefu, na ndiye anayemfanya asifikirie kuanzisha mahusiano na mtu yeyote hata kama ni msanii.

Bill Nass ameeendelea kwa kusema kwamba hata ikitokea amekorofishana na mpenzi wake huyo, mara nyingi hukaa mwenyewe na mpaka pale watakapomaliza tofauti zao.

"Sijawahi kuwa na mahusiano na msanii yeyote, iwe wa kuimba, wa kuigiza, presenter au kuwa na mahusiano na mtu yeyote ambaye ni celebrity, mtu ambaye nina mahusiano naye ni mtu ambaye nipo naye tangu tupo diploma, na mara nyingine tukiwa tunagombana nakuwa single tu , lakini mtu ambaye nipo naye nipo naye huyo huyo na si mwengine”, amesema Bill Nass.

Hivi karibuni msanii huyo aliwahi kukumbwa na skendo ya kuwa kwenye mahusiano na msanii wa kike Nandy  ambaye kwa sasa anafanya vizri zaidi kwenye game.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad