VIDEO: Mtatiro Afunguka CHADEMA Kusimamisha Wagombea

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwenyekiti wa kamati ya uongozi wa Chama cha CUF Julius Mtatiro amesema kuwa kitendo cha CHADEMA kusimamisha wagombea katika uchaguzi mdogo wa marudio majimbo mawili ya Kinondoni na Siha sio kitendo kibaya, Msimamo wa UKAWA ulikua ni kugomea uchaguzi mdogo wa January 11.


TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI........ 
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Unafikiri utasemaje sasa, wakati Mbowe na chadema yake wamewashikia akili zenu, wanachotaka wao ndio mnachofanya, cuf haina jeuri ya kufanya itakacho, ila chadema wanafanya wakitakacho. Nyinyi CUF endeleeni KUJIPENDEKEZA kwao mtaona matokeo yake...!

    ReplyDelete

Top Post Ad