AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa Zanzibar, Dk Mohammed Shein anaongoza sherehe hizo akiwa sambamba na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Magufuli sambamba na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa pamoja na baadhi ya mawaziri, naibu mawaziri na wabunge mbalimbali.
Baadhi ya viongozi wastaafu waliohudhuria sherehe hizo ni pamoja na marais wastaafu akiwemo, Ali Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete, Aman Abeid Karume na baadhi ya makamu wa Rais wastaafu akiwemo Mohamed Gharib Bilal.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK