Waliowapa Wanafunzi Mimba Kupimwa DNA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Waliowapa Wanafunzi Mimba Kupimwa DNA
Mkuu wa Wilaya ya Kiteto Mhandisi Tumaini Magesa amesema suala la kuwapa mimba wanafunzi limekuwa na utata kwenye sheria, lakini sasa wamegundua njia mbadala ya kuwabaini wahusika wanaokatisha masomo ya wanafunzi.


Akizungumza kwenye kikao kazi cha kukutana na watendaji wa serikali, Mhandisi Magesa amesema njia ya kisayansi ya kupima vinasaba itatumika kuwabaini baba wa watoto hao, na kuwachukulia hatua za kisheria.

'Watu wa DNA wanakuja hapa, tunasubiri tu wale watoto wajifungue halafu sisi tuthibitishe kwamba DNA yako na yule mtoto ni wewe”, amesema Mhandisi Magesa

Mkuu wa Wilaya ya Kiteto amaefikia uamuzi huo baada ya kuwepo na taarifa za kuwepo kwa wanafunzi 159 waliopewa ujauzito na kukatisha masomo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad