AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa matokeo hayo Yanga SC inasalia katika nafasi yake ya tano kwakuwa na ponti 22 wakati Mwadui FC ikiwa na alama 13 na kuzishusha Kagera Sugar, Ndanda FC na Mbeya City.
Michezo mingine ya ligi kuu inatarajiwa kupigwa hapo kesho ambapo vinara wa ligi Simba SC itakuwa mwenyeji kwa kuwakaribisha Singida United inayoshika nafasi ya tatu wakati Majimaji itakuwa mwenyeji dhidi ya matajiri wa Dar es Salaam wanalambalamba Azam FC wanaoshika nafasi ya pili mechi itayopigwa uwanja wa Majimaji.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK