AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kuna mitindo ya nywele kwa baadhi ya mastaa inayo-trend ambapo kwa sasa kila mtu anakuja na mtindo wake mwenyewe ili kuleta upekee wa muonekano wake kama ilivyo kwa Ben Pol alikuja na mtindo wa rangi ya nywele za kijani kibichi na imempa dili kibao kutokana na mtindo huo wa rangi.
Staa wa Bongofleva Ali Kiba leo nae ameonekana akiwa miongoni mwa mastaa wa Bongo waliokuja na style mpya wa nywele ambapo ameamua kuweka rangi ya kwenye nywele zake na kuubadili muonekano wake kichwani tofauti na tulivyomzoea.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK