AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Kwanza nimshukuru Mwenyezi Mungu, pia nikushukuru Rais Magufuli kwa kunichagua kulitumikia Taifa, wewe unafahamu vigezo ulivyotumia kuniteua.
“Ninakuahidi nitafanya kazi yangu kwa moyo wangu wote, akili yangu yote na kwa nguvu zangu zote ili kujenga uchumi wa kati wa nchi yetu, Mwenyezi Mungu akinisaidia pia nikishirikiana na timu ya wote. Mimi katika siasa zangu sijawahi kutoa ahadi, lakini leo naweza kusema tu kwamba sitokuangusha,” alisema Dkt. Slaa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Eee Slaa. Najua ni mzee lakini. Whats next mzee.utaanzisha chama kingine au kuoa Mswedeni.
ReplyDelete