AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Billnass amebainisha hayo kupitia eNewz ya EATV baada ya kuwepo kwa tetesi kuwa ukimya wake umesababishwa na kuondoka kwa Petty Man katika 'label' ya LFLG na kumfanya msanii huyo kushindwa kujisimamia mwenyewe kazi zake.
“Huwezi kuzungumzia kushuka au kupanda kwa sababu bado sijatoa wimbo na 'fan base' yangu ni ile ile angalau ningekuwa nimetoa nyimbo zinakataa. Watu wanatoa nyimbo hata saba, nane, tisa zinakataa mimi sijatoa hata wimbo mmoja ukakataa kwa hiyo bado naamini 'material' ambayo ninayo ni mengi”, amesema Billnas
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK