AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
KYERWA, KAGERA: Madiwani wawili wa CHADEMA, TulakilaTwijuke wa Kata ya Bugomora na Sadath Jeremiah wa Kata ya Kibale wamehamia CCM
-
Pia wanachama takribani 20 kutoka vyama mbalimbali vya Upinzani Wilayani humo wamehamia CCM
-
Madiwani na Wanachama hao wamedai kuridhishwa na utendaji wa Rais John Magufuli na kwamba hawajahongwa na mtu yeyote
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK