AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bi. Zainab ametoa kauli hiyo kupitia ukurasa wake maalumu wa kijamii asubuhi ya leo baada ya kuwepo kwa imani potovu kwa baadhi ya wanaume ambao wanawakatazia wanawake zao kutojihusisha na ufanyaji kazi wa aina yeyote ile.
"Heshima ya mwanamke ni kujishughulisha na kuingiza kipato chako mwenyewe, haijalishi umeajiriwa au kujiajiri. Haijalishi unauza Mama Ntilie, unajishughulisha na kilimo au biashara yoyote ile. Kikubwa heshimu unacho kifanya na usimpe nafasi mtu kudharau kinacho kuingizia rizki. Nawapa heshima wanawake wote ambao wanajishughulisha na wanajua uchungu wa kutafuta pesa, nawapenda", amesema Mkuu wa Wilaya Zainab.
Mkuu wa wilaya ya Pangani Bi. Zainab Abdallah amesema hayo ikiwa kama ni ishara ya kuelekea siku ya wanawake duniani ambayo huwa inaadhimishwa kila ifikapo Marchi 8 ya kila mwaka na kudai ataendelea kufanya hivyo mpaka kufika tarehe hiyo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK