Chuzi: Sina Mpango wa Kuoa Maishani Mwangu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Chuzi: Sina Mpango wa Kuoa Maishani Mwangu
WAKATI akiwa na watoto wanne aliozaa na mama tofauti, mwigizaji mkongwe wa Bongo Movies, Tuesday Kihangala ‘Mr Chuzi’ ameibuka na kueleza kwamba kamwe hana mpango wa kuoa.

Akipiga stori na Za Motomoto News, Chuzi alisema kuwa, uamuzi wake ni kwamba hataoa hadi mwisho wa maisha yake na anachokifanya kwa sasa ni kuwalea watoto hao wanne alionao hivyo wanaosubiri aoe au waliotarajia awaoe, waandike maumivu.

“Sina mpango wa kuoa maishani mwangu, watoto wanne nilionao ambao ni Abdrahim, Abdmalick, Salma na Ahmed wananitosha. Kwa sasa natafuta fedha kwa kasi ili niwalee vizuri maana ndiyo kazi iliyobakia,” alisema Chuzi.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad