AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akipiga stori na Za Motomoto News, Chuzi alisema kuwa, uamuzi wake ni kwamba hataoa hadi mwisho wa maisha yake na anachokifanya kwa sasa ni kuwalea watoto hao wanne alionao hivyo wanaosubiri aoe au waliotarajia awaoe, waandike maumivu.
“Sina mpango wa kuoa maishani mwangu, watoto wanne nilionao ambao ni Abdrahim, Abdmalick, Salma na Ahmed wananitosha. Kwa sasa natafuta fedha kwa kasi ili niwalee vizuri maana ndiyo kazi iliyobakia,” alisema Chuzi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK