Mwana Aipongeza Serikali "Nguo za Heshima Ndio Kila Kitu"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwana Amuunga Mkono Waziri Shonza "Nguo za Heshima Ndio Kila Kitu"
MWANA-DASHOSTI wa Bongo Movies, Mwanaheri Ahmed ‘Mwana’ amefunguka kuwa kitendo cha Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Juliana Shonza kupiga marufuku mastaa wa kike kujiachia nusu utupu, ndiyo kila kitu katika kurudisha hadhi iliyopotea ya sinema za Kibongo.

Mwana alisema kuwa, baadhi ya mastaa, hasa wa filamu wanaojiachia nusu utupu ndiyo waliochangia kushuka kwa sanaa hivyo waziri amefanya jambo la maana kupiga marufuku na kuwachukulia hatua wale ambao wanaendelea kusambaza picha hizo za kihasara kwenye mitandao ya kijamii.

“Sijawahi kukaa nusu utupu na sidhani kama itatokea, ninaipongeza sana serikali kwa kupiga marufuku picha za nusu utupu zilizokuwa zikitupiwa mitandaoni na baadhi ya wasanii kwani zinaharibu maadili ya Kitanzania, ninaamini sasa hadhi ya filamu itarudi maana jamii ilitudharau kutokana na mambo kama hayo,” alisema Mwana.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad