AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa msemaji wa kundi hilo amesema Washington ndiye mtu aliyemchukua Radio kutoka nyumbani na kwenda naye club ambako alipigwa hadi kupelekea kifo chake, kutokana na kutoa maelezo yasiyoeleweka.
“Tunaenda kumkamata Washington leo, Washington ndiye alimchukua Radio na kwenda naye mahali ambako aliuawa, kutokana na maelezo anayoyatoa kuwa ya kuchanganya yasiyoeleweka”, amesema msemaji huyo.
Pia Polisi wa Uganda tayari wamemkamata mtu aliyempiga Radio hadi kupekea kifo chake anayejulikana kwa jina la Troy, ambaye ametajwa na producer Washington aliyekuwa naye siku ya tukio mpaka anapigwa.
Mpaka Radio anakutwa na umauti Troy alikuwa amejificha kwenye nyumba ya rafiki yake iliyopo Entebe Uganda.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK