Zuma Amekataa Kuachia Madaraka- Malema

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Zuma Amekataa Kuachia Madaraka- Malema
Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma ameendelea kusisitiza kwamba amekwisha zingatia maelekezo yote ya kisheria na hawezi kuachia madaraka hayo. kwa mujibu wa viongozi wa upinzani Julius Malema na Bantu Holomisa.

Kitu hichi kilitokea baada ya mkutano ambao ulifanyika kati ya Zuma na viongozi 6 waliochaguliwa kwenye chama cha ANC siku ya Jumapili.

“Alikataa kujiuzulu na amewaambia wafanye uamuzi wa kumtoa kama watapenda kufanya hivyo kwa sababu hakuwa na hakuna kitu chochote kibaya alicho kifanya kwenye nchi hiyo. Analalamika kuwa alikubali maelekezo yote ya kisheria ikiwa ni pamoja ya kulipa fedha, Je, wanataka nini zaidi kutoka kwake.” Malema wa EFF aliandika katika akaunti yake ya Twitter.


Julius Sello Malema

@Julius_S_Malema
He refused to resign and he told them to take a decision to remove him if they so wish to do so because he didn’t do anything wrong to the country. He’s arguing that he complied with all legal instructions including paying back the money, what more do they want from him

12:25 AM - Feb 5, 2018
 962 962 Replies   4,304 4,304 Retweets   4,640 4,640 likes
Twitter Ads info and privacy
Watu wamependekeza kwamba Cyril Ramaphosa, aliyechaguliwa kuwa rais wa ANC mwezi Desemba 2017, kuchukua nafasi ya urais wa nchi kabla ya uchaguzi mkuu ujao mwaka 2019. maandamano dhidi ya Zuma yanatarajiwa katika kufanyika makao makuu ya ANC yaliyopo huko Johannesbur, South Africa.

kulingana na taarifa za hivi punde ni kwamba Kamati ya wanachama wa ANC wanatarajia kufanya mkutano maalum mchana huu.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad