Dogo Janja Adaiwa Ameolewa..

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mkali wa Bongofleva Edu Boy ameamua kumjibu Dogo Janja ile kauli aliyomuambia kuwa yeye ni mtoto na kumuambia kwa kusema Janja ameolewa na ndo maana anaona wenzake wadogo hivyo apambane na ndoa yake.

Akiongea na eNEWZ amesema kinachomsumbua Dogo Janja ni kwamba ameolewa na hajaoa, huenda baada ya yeye kufunga ndoa anahisi kwamba kila kitu kipo sawa kwake na kuwaona wasanii wenzake wadogo kiumri na hata kimaisha.

''Dogo Janja ni mdogo sana kwangu kiumri nina uwezo wa kumshika na kumpiga vibao kama mdogo wangu na akatulia asiniambie chochote, kumuoa Irene asione kama amemaliza kila kitu'', amesema.

Edu Boy pia amefunguka kuwa anasikia Stamina anamtafuta hivyo aende tu kwenye maeneo ambayo anapatikana kama studio za Mona Ganster atamkuta wamalizane.
Zaidi fuatilia ENEWZ ya EATV saa 12:00 jioni.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad