Haji Manara Amfariji Cannavaro Baada ya Kufiwa na Mwanaye

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Haji Manara Amfariji Cannavaro Baada ya Kufiwa na Mwanaye
Afisa habari wa timu ya Simba SC, Haji Manara amekuwa miongoni mwa watu walioweza kuguswa na msiba uliomfika Nahodha wa Yanga SC, Nadir Haroub 'Cannavaro' leo wa kufiwa na mwanae na kumtaka awe mwenye moyo wa subra.


Manara amefunguka hayo kupitia ukurasa wake maalumu wa kijamii baada ya kupokea taarifa hizo za msiba wa Anwar aliyefariki katika hospitali ya Taifa Muhimbili leo asubuhi wakati akipatiwa matibabu ya maradhi yaliyokuwa yakimsumbua

"Pole sana Cannavaro kwa kufiwa na mtoto wako wa miezi miwili Anwar. Mimi binafsi, viongozi, wachezaji, benchi la ufundi, wanachama pamoja na mashabiki wa Simba tunaungana na Cannavaro katika kipindi hiki kigumu alichonacho yeye pamoja na familia yake kiujumla. Poleni wanayanga wote", amesema Manara.

Kwa upande mwingine, muandishi wa habari hii alipomtafuta Cannavaro kwa njia ya simu amesema japo kuwa yeye yupo njiani kurudi nchini akiwa anatokea Visiwa vya Shelisheli ameruhusu mwili wa marehemu mwanae kuzikwa leo (kuhifadhiwa).
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad