AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
BURUNDI: Wakimbizi wameendelea kumiminika mikoa inayopakana na eneo la Fizi lililopo Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kutokana na mapigano yanayoendelea kati ya majeshi ya Serikali na Waasi wa Mai Mai
-
Wakimbizi hao wanasema mapigano ni makali mno kiasi cha familia nyingi kutawanyika na baadhi ya Watoto wamekimbia bila Wazazi wao.
Shirika la Umoja wa Mataifa linalowahudumia wakimbizi (UNHCR) limeanzisha misafara ya kuwapeleka wakimbizi hao kwenye kambi katika Mikoa isiyopakana na Kongo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Dkt shika huli suala lako lishughulikie kabla hujasepea Mariakani.
ReplyDelete