AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na waandishi wa habari waliofika nyumbani kwao, eneo la Victoria, Mwananyamala, jijini Dar es Salaam, amewapongeza madaktari wa Hospitali ya Muhimbili kwa jitihada zao za kupigania uhai wa marehemu lakini Mwenyezi Mungu alimpenda zaidi.
“Baada ya baba kuumwa na mbwa alianza kupata complications (matatizo) ya moyo na mapafu, hivyo kwa muda wa siku tatu alihangaika sana wakati akipatiwa matibabu, hivyo cha msingi ni sisi kumwombea kwa Mungu apumzike kwa amani,” alisema Kinjekitile
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK