AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbowe amebainisha hayo leo (Februari 27, 2018) wakati alipokuwa anazungumza na waandishi wa habari katika makao makuu ya CHADEMA eneo la Magomeni, jijini Dar es Salaam baada ya kupita siku kadhaa tokea Jaji Mtungi kuipa barua chama hicho cha siasa kukitishia kutaka kukifuta.
"Muda unavyozidi kwenda namtambua vizuri Jaj Mtungi ni mtu wa aina gani. huyu ndio mtu anayevuruga vyama vya siasa kuliko kiongozi mwingine yeyote yule katika majaji au wasajili waliokwisha kutangulia tangu tulipo anzisha vyama vingi", amesema Mbowe.
Pamoja na hayo, Mbowe ameendelea kwa kusema 'lakini niseme tu ndugu zangu hizi chaguzi zote zitaendelea kuzaa majeraha na maumivu, kama hatuwa 'serious' hazitachukuliwa na kama 'movement serious' haitochukuliwa katika nchi hii kwa sababu hawa wenzetu hawaoni aibu wanajipanga na kulindwa na dola".
Kwa upande mwingine, Mbowe amesema chama cha CHADEMA sio chama cha kigaidi kama wanavyodhania bali ni chama makini kilichokuwa na mkusanyiko wa makabila na dini zote.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK