AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa hiyo imetolewa na shirika rasmi la habari la Saudi Arabia la SPA ambapo limeeleza kuwa Mfalme Salman pia amefanya mabadiliko kwa Makamanda wa vikosi vya nchi kavu na vile vya angani.
Hadi sasa hakuna sababu yoyote ya mabadiliko hayo iliyowekwa wazi lakini inasemekana mabadiliko hayo kiasi flani yameshawishiwa na Mrithi wa Mfalme Mohammed bin Salman.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK