Mfalme wa Saudi Arabia Amewafuta Kazi Mkuu wa Majeshi, Makamanda wa Vyeo vya Juu Jeshini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mfalme wa Saudi Arabia Amewafuta Kazi  Mkuu wa Majeshi, Makamanda wa Vyeo vya Juu Jeshini
Leo February 27, 2018 habari kutoka nchini Saudi Arabia ni kwamba Mfalme wa nchi hiyo King Salman amefanya mabadiliko katika jeshi la nchi hiyo ikiwa ni pamoja na kuwafuta kazi Makamanda wa Vyeo vya juu jeshini akiwemo Mkuu wa majeshi.

Taarifa hiyo imetolewa na shirika rasmi la habari la Saudi Arabia la SPA ambapo limeeleza kuwa Mfalme Salman pia amefanya mabadiliko kwa Makamanda wa vikosi vya nchi kavu na vile vya angani.

Hadi sasa hakuna sababu yoyote ya mabadiliko hayo iliyowekwa wazi lakini inasemekana mabadiliko hayo kiasi flani yameshawishiwa na Mrithi wa Mfalme Mohammed bin Salman.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad